LIJUE SOKO LA KUKU

Share this post on:

DONDOO KUHUSU SOKO LA KUKU

`Friends

Nawakumbusha tu

Hakuna Bidhaa ya mifugo iliyo na Soko endelevu bila kutumia nguvu ya Ziada

Usidanganyike Rafiki

No free market
Find & Fight for it

Watu Huwa wananipigia simu

Wanasema Nisaidie ni Kuku wapi nikifuga Soko lipo muda wote?

Ni kweli, Soko linaweza kuwepo lakini siyo unalotaka wewe

Tambua

Soko unalolitamani wewe kwa bei nzuri haliwezi kuja free unless Bidhaa zako ni Bora sana

Soko la wengi siku zote lazima liwe na ushindani

Elewa mfugaji

Ukihitaji kuwa na Soko Bora na endelevu lazima ujitofautishe na wengine

Usisubiri tu wanunuzi waje bandani wakati Hauna uhakika na Bidhaa zako

Ubora

Wafugaji

Tuwe na msimamo na Soko letu
Ipe thamani Bidhaa yako

Fanya hesabu ujue Kuku umemzalisha kwa sh. Ngapi na uuzeje

Usiuze tu muhimu uingize wengine

Mfano

Kama Broiler Mmoja umemzalisha kwa 4500 kwa siku 26

Basi jipangie unahitaji faida kiasi gani kwa Kila broiler

Kama ni 2,000 Basi uza 6500

Hesabu

Epuka kwenda kibubu bubu kwenye suala la mradi

Watu wengi ukimuukiza kwa Batch hii Kila Kuku amekulipa sh. Ngapi?

Wengi hawawezi kujibu

Usiende hivo

All in all

Wengi wetu hatuna elimu juu ya miradi

Tunafuga tu sababu tuna mitaji na hatuna kazi nyingine za kufanya

Tafuta elimu please

Naweza kukusaidia

Karibu

Tufuge pamoja
DIOFARM TZ
0755051870
MOROGORO.

Share this post on:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Need Help?