Kwenye ulimwengu wa kilimo biashara Tanzania, Kilimo cha Nyanya ndicho kinachoitwa “Mchezo wa Hatari” (High Risk, High Return). Unaweza kuwa milionea ndani ya miezi mitatu, au ukapoteza mtaji wako wote usipozijua siri za ndani. Je, unateseka na magonjwa yanayokauka shamba zima? Au unavuna wakati bei imeshuka hadi Sh. 5,000 kwa kreti? Leo tunafichua siri za
Je, unajua kuwa wakulima wengi Tanzania wanavuna wastani wa gunia 5 hadi 8 tu kwa ekari? Hiyo ni hasara! Ukifuata mbinu za Kilimo Bora cha Mahindi, una uwezo wa kuvuna zaidi ya gunia 30 kwenye eneo lile lile. Siri haipo kwenye ukubwa wa shamba, bali kwenye kufuata kanuni za kitaalamu. Hapa kuna miongozo mitano (5)
Je, unatafuta zao la biashara ambalo halihitaji ardhi kubwa wala mtaji wa mamilioni kuanza? Jibu ni Kilimo cha Pilipili Kichaa. Katika takwimu za hivi karibuni za kilimo nchini Tanzania, pilipili kichaa imetajwa kuwa miongoni mwa mazao yanayokua kwa kasi zaidi sokoni (Rising Keywords) kwa zaidi ya +60%. Kwanini Ukimbilie Kilimo cha Pilipili Kichaa Msimu Huu?
PIMA AFYA YA UDONGO LEO Nini hupimwa kwenye udongo kwa ajili ya kilimo? Wasiliana nasi0768259410/0628520448Makambako town council
Shamba liandaliwe si chini ya miezi miwili (2) kabla ya kupanda kwa kuzingatia kanuni bora za uzalishaji wa zao la parachichi. Mpangilio Nafasi za upandaji hutegemea sifa za ukuaji, aina ya parachichi, aina ya udongo, hali ya rutuba, ikolojia na kanuni za kilimo bora. Miche ipandwe kwa nafasi zilizopendekezwa kitalaam, kama inavyoainishwa katika Jedwali Na
Uchaguzi wa eneo la kuanzisha shamba la parachichi ni uamuzi muhimu kwa ajili ya uzalishaji. Eneo lilipo shamba huathiri uzalishaji, ubora na masoko ya zao, uendelezaji wa shamba, udhibiti wa visumbufu vya mazao na ufikishaji wa mazao sokoni. Masuala muhimu ya kuzingatia katika uchaguzi wa eneo la shamba parachichi ni yafuatayo: