Skip to content

Kampuni ni nini? Kampuni ni mjumuiko wa watu wawili au zaidi wenye nia ya kufanya biashara halali na kuusajili mjumuiko huo chini ya Sheria ya kampuni. Aina za Kampuni Faida za Urasimishaji Kampuni ni zipi? Vigezo vya kusajili Kampuni Nyaraka za kuambatisha Hatua 10 za kusajili Kampuni

thiszmenasog@gmail.com
June 25, 2025

Project HR Assistant at Médecins Sans Frontières Project HR Assistant Médecins Sans Frontières An international, independent medical humanitarian organisation Médecins Sans Frontières (MSF) is an international, independent, medical humanitarian organisation that delivers emergency aid to people affected by armed conflict, epidemics, natural disasters and exclusion from healthcare. MSF offers assistance to people based on need,

richard nchimbi
June 4, 2025

Sekta ya Usimamizi wa Ardhi inalenga wataalamu wanaosimamia, kupanga na kutatua masuala yanayohusu matumizi, umiliki na maendeleo ya ardhi. Ajira hizi zinatolewa na ofisi za serikali (ardhi, mipango miji), halmashauri, makampuni ya upimaji na ramani, mashirika ya uendelezaji makazi, taasisi za fedha, NGOs na sekta binafsi. Ikiwa unatafuta nafasi za kazi za Usimamizi wa Ardhi

richard nchimbi
June 1, 2025

Sekta ya Mabadiliko ya Tabianchi ni mojawapo ya maeneo yanayokua kwa kasi duniani na hata Tanzania. Ajira hizi zinahusisha utafiti, utekelezaji wa miradi ya kupunguza na kukabiliana na athari za tabianchi, ufundishaji, ushauri, tathmini ya mazingira (EIA), usimamizi wa rasilimali asilia, na kampeni za uhamasishaji jamii. Ikiwa unatafuta nafasi za kazi za mabadiliko ya tabianchi

richard nchimbi
June 1, 2025

Sekta ya Usafirishaji na Usimamizi wa Usafiri ni muhimu sana katika kukuza biashara, uchumi na maendeleo ya kijamii Tanzania. Ajira katika sekta hii zinapatikana kwenye kampuni za mabasi, malori, reli (TRC), bandari (TPA), viwanja vya ndege (TAA), mashirika ya ndege, makampuni ya logistics, clearing & forwarding, kampuni za delivery, na pia kwenye taasisi na makampuni

richard nchimbi
June 1, 2025

Sekta ya Ufundi na Huduma inatoa ajira nyingi nchini Tanzania, hasa kwa wale waliohitimu kwenye vyuo vya ufundi, VETA, FDC na kozi za ufundi stadi. Ajira hizi zinapatikana kwenye sekta za umeme, magari, useremala, uashi, ujenzi, welding, refrigeration, umeme wa majumbani na viwandani, plumbing, urembo, saluni, ushonaji, matunzo ya magari, huduma za jamii, na zaidi.

richard nchimbi
June 1, 2025

Sekta ya Maji, Madini na Rasilimali Asilia ni muhimu sana kwa maendeleo ya uchumi, afya ya jamii na utunzaji wa mazingira. Ajira kwenye sekta hii zinapatikana serikalini, mashirika binafsi, kampuni za madini, miradi ya maji vijijini/mijini, NGOs za kimataifa na za kitaifa, taasisi za utafiti na vyuo vikuu. Ikiwa unatafuta nafasi za kazi za maji,

richard nchimbi
June 1, 2025